Skip to main content

IVO Mapunda na Taifa Stars


Nimekuwa mfuatiliaji wakaribu sana wa mjadala uliopo kati ya wapenzi wa soka,pale linapokuja suala lakuzungumzia nafasi ya golikipa wa timu ya Taifa.


Katika hilo niliamua kufuatilia magoli ambayo Ivo Mapunda amekuwa akifungwa;kwa magoli hayo utaweza kuelewa kwamba kijana huyuhana bahati na wapenzi wa timu ya taifa.


Nayaongea haya nikikumbuka magoli aliyofungwa na Msumbiji,Ghana, pamoja na yale ya Kameruni.


Ingawa magoli haya alilaumiwa Ivo, lakini yanaonyesha wazi safu ya ulinzi ya stars ilivyo na matatizo katika marking na covering. kosa hilo haliwezi kumalizwa na Ivo, waalimu wa timu pia wangelaumiwa kama wapenzi wa soka wanaogopa kuwalaumu moja kwa moja walinzi wa timu yetu hii ya Taifa.


Nimeiweka picha hii iliyopigwa na magid mjengwa makusudi ili muweze kuona mahali alikotoka mfungaji bila marking hadi anapiga free header. Kwa nini hatujiulizi mtu wa kumkaba huyu alikuwa wapi? au kwa kuwa ni kipa alitakiwa kukabwa na kipa mwenzie (IVO)?
Angalia picha kwa umakini kama ni mtu unayeijua soka utajua wazi kuwa IVO hakustahili lawama katika goli hili




Comments

Popular posts from this blog

Mimi na marafiki

Picha hii ilipigwa pale uwanja wa bandari Tandika nikiwa na wakongwe James Kisaka(aliyesimama kushoto ) na Seifdin Kabange (Jezi nyekundu na white strips). Hii ilikuwa baada ya mazoezi ya Veterans wa NBC United

Dar Young Africans Vs Simba Sports club

Tommorow (saturday 31/10/2009) is one of the big days in Tanzanian Soccer. Tanzania's soccer giants Yanga (young Africans) and Simba will clash at the National stadium in Dar es Salaam. The match is expected to attract many spectators than usual, we expect revenue collections to be high. Actually we look forward to watching this big event. In the midst of expectation I can not stop myself from wondering what actually will happen tommorow. I wish to very advanced soccer tactics from the big teams, I wish to hear from TFF that they have collected as much as they expected as gate collection, I wish to see fair officiating of the match. I wish to mature and fair behavior from fans, i wish for a lot good things to happen. But I know one thing for sure: It is possible that I wont see any of my wishes coming true. It is possible to hear from TFF saying that they run deficit from the match collection. We may end up seeing the usual none fair play game from players, players from each team m...

PURPOSE OF DIFFERENT TACTICAL EXERCISES IN SOCCER

Dear readers I would like to take this opportunity to appologize for not updating information on this site for such long time. Today I just want to highlight purposes for some tactical exercises 2v1 ONE ACTS, ONE SUPPORTS, IN ATTACK OR WHEN DEFENDING. IN ATTACK, PLAYER WITH THE BALL COMMITS THE LONE DEFENDER THEN EITHER GOES PAST THEM OR PASSES TO THE SECOND ATTACKER. IN DEFENSE, NEAREST CHALLENGES, THE OTHER COVERS 3v1 IN DEFENSE, ONE CHALLENGES, ONE COVERS, THE THIRD BALANCES IN ATTACK, ONE COMMITS AN OPPONENT, ONE POSITIONS TO RECIEVE A POSSIBLE PASS, THE THIRD MAKES AN ATTACK RUN 4v2 DEFENDING - IS ABOUT THE 2 WORKING AS A PAIR TO CUT DOWN QUICKLY ANY POSSIBLE EASY SPACE FOR THE OPPONENT WITH THE BALL TO PASS TO ONE OF THE OTHER THREE ATTACKERS ATTACKING - IS ABOUT THE PLAYER WITH THE BALL HAVING THREE OPTIONS TO PASS IF THEY WISH TO (SUPPORT, PASS OPTIONS) 5v2 AS c. ONLY DEFENDING BECOMES MORE OF A POSITIONING TO FORCE THE BALL TO WHERE YOU CAN ATTACK IT FOT ATTACKING ITS ABOU...