Skip to main content

Posts

Showing posts from April, 2008

Yanga Vs Al akhdar

Ni wazi kuwa wapenzi wa timu ya Yanga ya Tanzania watakuwa wamesononeshwa sana na kufungwa kwa timu yao. Ni ukweli usipingika kuwa katika soka lolote laweza kutokea. Kwa upande wangu niliweza kuyaona haya machache. Al Akhdar waliifanya home work yao vizuri. ni wazi kuwa walitumia vema mchezo uliochezwa kwao Libya kufanya Match analysis. Ninasema hivyo kutokana na jinsi walivyoweza kudhibiti uchezaji wa Yanga kama timu na ule wa mchezaji mmoja mmoja. Kwa upande wa wachezaji ilionyesha wazi kuwa waliweza kutambua uchezaji wa wachezaji kama Mrisho Ngasa, Mourice Sunguti, na Abdi Kassim. Nikitolea mfano wa Ngasa; ni wazi kuwa walijuwa vema kwamba Ngasa ni mchezaji mwenye speed na mwenye uwezo mkubwa wa kupiga chenga na kutoa pasi nzuri. Wao waliweza kutengeneza mfumo wa kumkaba Ngasa asiweze kufanya haya yote. Katika kumkaba Ngasa walitumia wachezaji wawili, mmoja akitangulia mbele kumzuia kwa karibu (committing) na wapili alikuwa aki support kwa nyuma. pindi Ngasa akifanikiwa kumpita huyu...

4-3-3 its variations

4-3-3 variations Allow the two wings to move around the pitch aggressively. The one target forward is the only player who's role is "streamlined" and if wing comes over to other side, the striker just makes a backside run -------------ST------------ --LW----------------RW-- ------------CM------------ LB---LM----------RM----RB ---------CB----CB--------- There will be layers (depth) between the outside mids and outside backs if ball is in attacking third some coaches use a more rigid approach LW--------ST-----------RW -----LM-----------RM------ ----------CM--------------- LB---------------------RB-- -------CB------CB---------- This coach wanted 5 offensive players and even made this more of stopper/sweeper. But his outside backs would get toasted by good teams. -------------ST-------------- -------LW-----------RW----- ------------CM------------- LM-------------------------RM -----------ST---------------- ---LB-------------RB---------- ---------SW------------------ sideway...

Unamjua huyu?

Huyu ndiye Habibu Mahadhi Mfungaji bora wa Ligi ya soka Tanzania bara Mwaka 1999.

James Kisaka

James Kisaka golikipa wa zamani wa Simba sports club ya Tanzania. Hivi inamaanisha Tanzania imeishiwa vipaji kama hivi vilivyokuwepo enzi za kina James Kisaka? Enzi hizo ukiachilia Kisaka Simba ilikuwa na kipa mwingine bora Athman Mambosasa. Kwa sasa James anafundisha timu ya Jeshi huko ngerengere na kwa part time huwa anafundisha veterans wa NBC Ltd. Amewahi pia kufundisha timu ya Kagera sugar ya Kagera na Moro United ya mjini Morogoro